Sunday, March 29, 2009

Usafi wa Matako na Uke

Usafi wa Matako na Uke!


Kawaida ya mwanawake sio wa Kibongo tu bali hata yule wa Ulaya,Uchina,Uarabu na Umarekani hujali zaidi ngozi ya uso na akijitahidi sana itakuwa sehemu zinazoonekana kwa urahisi kama vile shingo, mikono, viganja na ngozi ya miguu.

Lakini maeneo kama tumbo na makalio huwa havijaliwi sana (sizungumzii mkorogo hapa tafadhali) nazungumzia ile hali kawaida ya kujali ngozi na kuwa msafi ktk maeneo hayo muhimu.

Unajua mwili wako mwanamke umeumbwa kuvutia kutokana na ile “mituno” asilia inayokufanya uwe tofauti na mwanaume hapo nina maana matiti, hips na matako.

Mituno hii huvutia ukiwa umevaa nguo na kufanya mtazamaji apendezwe na kuvutiwa lakini je akiondoa hizo nguo mituno hiyo itakuwa kama vile anavyofikiria?


Utunzaji/usafi wa matako na “hips” kwa njia ya asili.


Sote tunafahamu kuwa ngozi ya maeneo hayo sio sawa na ile ya sehemu nyingine ya mwili, maeneo haya hukabiliwa na vipele Fulani hivi vigumu, baadhi hupauka kuliko na wengi hukabiliwa na michirizi.


Hakikisha kuwa unasugua sehemu hiyo ya mwili wako kwa kutumia machicha ya nazi au unga wa mmea wa liwa kusugua maeneo hayo, fanya hivyo mara moja kwa wiki kama unamudu na una senti za kununua nazi na liwa basi unaweza fanya hivyo kila siku (ila mara moja kwa wiki inatosha kabisa kukupa ulaini wa sehemu hizo na kuondoa mpauko na vipele uzembe).

Njia nyingine kwa wewe mwenye ngozi ya mafuta ni kujisugua sehemu hizo kwa kutumia pumba za maindi au unga wa dona (mahindi yaliyosagwa bila kukobolewa/ondolewa ngozi)….

Vilevile hakikisha jamaa anamwaga kwenye makalio yako wakati wa ngono sio kila siku ndani tu au kwenye kondom kwani manii huboresha ngozi ukipaka kama mafuta/lotion ikiwa Jamaa lako choyo na shahawa zake basi wewe kula mboga za majani na kunywa maji kwa wingi na wakati huohuo unayasugua mapele hayo...

Hakikisha unasafisha na maji na unamalizia kupaka mafuta/lotion kila unapomaliza kuoga au kusugua makalio yako.

Usafi wa makalio sio kwenye mapele na ukavu tu bali kuna vile vinywele hujiotea kwenye mstari wa “ikweta” kuelekea au kuzunguuka sehemu ya kutolea haja nzito, wengi ambao hawashukiwi chumvini au hawabong’oi (hawafanyi mbuzi kagoma n.k) nasikia huwa hawajali ama hawajui kabisa kuwa wana nywele huko………huruhusiwi kucheka wala kushangaa hapo!

Mwanamke, hata kama hupindi/binuka harufu itasikika, huenda wewe huisikii kwa vile umezoea lakini mpenzi wako atavuta harufu hiyo yenye utata (mchanganyiko wa jasho, ute na mavi) hivyo hakikisha huto tunywele tunaondolewa kila tunapojitokeza hata kama wewe ni mtu wa kifo cha memde tu.

No comments:

Post a Comment