Thursday, December 20, 2012

Afunga Ngono na Wanawake Wanne kwa mpigo

Wakati Bwana Laizer kama ilivyoshuhudiwa hapo chini alijitwalia Nancy wake (m'1 pekee) kwa maisha,Jumamosi iliyopita mwanaume mmoja wa nchini Afrika Kusini anayekwenda kwa jina la Milton Mbhele alijipatia umaarufu wa ghafla Duniani baada ya kufunga ndoa na wanawake wanne kwa mpigo.


Bwana Mbhele aliyewasili Harusini hapo akiwa kwenye gari nyeupe aina ya Limousine na Ma'Bibi zake, aliwavalisha pete za ndoa na kuwapiga mabusu ya nguvu Ma'bibi Harusi wake hao katika harusi kubwa na ya kukata na shoka iliyohudhuriwa na mamia ya watu.


Nchini Afrika kusini sheria zinaruhusu ndoa za wake wengiwengi na ndo maana hata Rais wa Afrika Kusini Jackob Zuma ana wake watatu.Utamaduni huu ni wa kawaida kwa makabila ya Zulu na Swazi.

Thursday, November 22, 2012

Ngono 'Tamu' huchukua dakika 3 hadi 13 tu!


Jamani ni hivi wataalamu wanasema kuwa eti inachukua dakika tatu tu, kumridhisha mtu kimpenzi! Tangu juzi wanatangaza hizi habari kwenye taarifa ya habari hapa Marekani. Chini ya dakika tatu hakuna raha kwa mwanamke.

Hizi dakika tatu hadi 13 hazihusishi foreplay, yaani mambo mnaofanya kabla ya tendo eneyewe. Na huyo mwanaume anayefanya dakika 13 bila kupumzika ana kazi.

- Wanasema ni vigumu kwa wanaume wenye umri mkubwa na wanaume wenye umri mdogo kufanya tendo kwa muda mrefu kabla ya kumaliza.

Thursday, June 28, 2012

Mapenzi-jinsi ya kupata demu


Ili mdada akupende inategemea vitu vingi sana ambavyo vinasababisha wakupende.

1. jiografia: sehemu wadada walipo. wanachopenda wadada wa tanzania ni tofauti na wanachopenda wadada wamerekani na nitofauti na wanachopenda wadada wakichina

2. kipindi: kipindi wadada walichopo nacho kinategemewa sana, wadada wa enzi za mawe walikuwa wanapenda vitu vofauti na wadada wa enzi za miaka ya giza (dark ages), na

pia ni tofauti na wadada wa enzi zetu ja JF na FB na SIMU.

3. jenetiks: huyo mdada kazaliwa kwenye familia gani pia inatofautisha....kivipi?....wa dada wengi wanatafuta wanaume wanaofanana na baba zao. Kwa hiyo mwanaume ukiwa

na tabia zinazofanana na tabia za baba wa mdada fulani, basi huo mdada atakupenda.

Sasa kuna kupendwa kwa aina mbili:
1. kuonyeshwa mapenzi
2. kupendwa kwa dhati

Ingawa watu wengi sana wanasema wanataka mapenzi ya dhati, lakini ukweli ni kwamba watu wengi wanataka kuonyeshwa mapenzi tu.

Kuna tofauti kati ya kupendwa kwa dhati na kuonyeshwa mapenzi. Mdada anayekupenda kwa dhati, saa nyingine anaweza kufanya vitu ambavyo unaweza kudhani kuwa hakupendi.

Na hii inatokana na udhaifu wa binadamu kushindwa kuona kilichopo ndani ya moyo au akili ya mtu.

Kuonyeshwa mapenzi ni rahisi zaidi. Mfano mzuri ni kwenye movie. Nadhani ukiangalia zile romantic movies, baada ya dakika kadhaa utasema kuwa yule mdada anampenda yule

mkaka. Na unasema hivyo kwa sababu, unaona matendo yao...ingawa kikwelikweli wanaakti tu!

Kumbe basi unaweza kuigiza kuwa unampenda mtu, na huyo mtu na watu wengine wakadhani kuwa ni kweli kuwa unampenda.

Sasa kama unataka kuonyeshwa mapenzi (sio kupendwa kwa dhati), unachotakiwa kumfanyia mdada ni:
1. Mnunulie vitu...mnunulie kila kitu anachosema anataka, simu, umpe vocha, mpe nauli, na kadhalika.
2. Muonyeshe kuwa we unanguvu kuliko watu waliokuzunguka. Kiasi kwamba awe na wewe kwa ajili ya ulinzi.
3. vitu vingine nitatoa badae, mda umeisha.....nikirudi nitaelezea na vitu vya kufanya ili upendwe kwa dhati na sio kisanii.

Source

Saturday, January 21, 2012

NI LINI MWANAMKE HUJISIKIA KUFANYA MAPENZI

mapenzi, kufanya mapenzi

KWA wanaume ambao walishawahi kujihusisha katika uhusiano wa kimapenzi au hata unyumba, ni dhahiri kuwa wakati fulani waliishaambiwa na wake zao au wapenzi wao kuwa hawajisikii kufanya mapenzi. Na kama umewahi kusikia kauli ya 'sijisikii' mara
nyingi kiasi kwamba huwezi kukumbuka idadi, hupaswi kuwa na wasiwasi na kuhisi kuwa pengine una matatizo, kwani wapo wanaume wengine wengi walio pamoja nawe katika mkumbo huu.

Wanaume wengi hulalamika kuwa wake zao, au wapenzi wao hukataa kufanya nao mapenzi mara kwa mara. Kutokana na hali hiyo, baadhi ya wanaweza kujikuta wakiwaweka wapenzi wao katika lawama, baadhi wakidhani wana wapenzi wengine nje na kufikia hatua ya
kufikiria kuwabwaga. ENDELEA KUSOMA HAPA